Risedronic acid ni dawa kizazi cha tatu cha bisphosphonate inayotumika katika matibabu ya baadhi ya matatizo ya udhaifu wa mifupa pamoja na ugonjwa wa paget. Hufanya kazi kwa kuzuia ufyozwaji wa madini kutoka kewnye mifupa.
Sildenafil ni moja kati ya dawa inayotumika kutibu matatizo ya kushindwa kusimamisha uume au kusimamisha kwa muda mfupi na kushusha shinikizo la la juu la damu kwenys mapafudamu iliyojuu kwenye mapafu.
Tiludronate ni dawa ya kizazi cha kwanza cha bisphosphonate inayofanana na etidronic acid na clodronic acid, hutumika kutibu ugonjwa wa Paget kwenye mifupa.