top of page

Dawa 02

Mhariri:

Dawa Risedronate

Risedronic acid ni dawa kizazi cha tatu cha bisphosphonate inayotumika katika matibabu ya baadhi ya matatizo ya udhaifu wa mifupa pamoja na ugonjwa wa paget. Hufanya kazi kwa kuzuia ufyozwaji wa madini kutoka kewnye mifupa.

Mhariri:

Dawa Sildenafil

Sildenafil ni moja kati ya dawa inayotumika kutibu matatizo ya kushindwa kusimamisha uume au kusimamisha kwa muda mfupi na kushusha shinikizo la la juu la damu kwenys mapafudamu iliyojuu kwenye mapafu.

Mhariri:

Dawa Tetrabenazine

Tetrabenazine ni moja kati ya dawa inayotumika kupunguza miondoko isiyokuwa ya kawaida (chorea) inayosababishwa na magonjwa ya huntington.

Mhariri:

Dawa Tiludronate

Tiludronate ni dawa ya kizazi cha kwanza cha bisphosphonate inayofanana na etidronic acid na clodronic acid, hutumika kutibu ugonjwa wa Paget kwenye mifupa.

Mhariri:

Dawa Treprostinil

Treprostinil ni moja kati ya dawa inayotumika kushusha shinikizo la juu la dmau kwenye mapafu.

bottom of page