top of page
Dawa 02

Dawa Zoledronic Acid
Zoledronic Acid ni dawa ya kizazi cha tatu cha bisphosphonate yenye nitrogen inayofanana na to ibandronic acid, minodronic acid, and risedronic acid, inatotumika kukinga na kutibu udhaifu wa mifupa kutokana na kuzidi kwakiwango cha kalisuam kutokana na saratani na ugonjwa wa paget.
bottom of page


