top of page

Homoni

Kurasa hii imeorodhesha homon mbalimbali zinazopatikana kwenye mwili wa binadamu

Estrone

Estrone

Estrone ni homoni inayozalishwa na ovari ,ni moja ya homoni yenye umuhimu sana kwa mwanamke bada ya komahedhi. Estron ipo kwenye kundi la homoni za oestrogens ambazo zipo nne estrone (E1), estradiol (E2), estriol (E3), and estetrol (E4 ).

Serotonin

Serotonin

Ni homoni inayofanya kazi nyingi sana mwili , homoni hii hujulikana kama homoni ya utulivu kwa sababu homoni hii huweza kuchochea mtu kuwa na utulivu.

Norepinephrine

Norepinephrine

Norepinephrine ni homoni inayojulikana kwa jina jingine la noradrenaline, homoni hii hufanya kazi kama homoni na nyurotransmita (mjumbe) wa kusafirisha taarifa za mfumo wa fahamu kati ya neva moja na nyingine.

Melatonin

Melatonin

Homoni ya melatonin hufahamika kwa jina jingine la N-acetyl-5-methoxytryptamine huwa na rangi ya blue na hutengenezwa kutoka kwenye amino asidi zinazoitwa tryptophan. Homoni hii hufahamika kama homoni ya usingizi

bottom of page