top of page
Soma zaidi madhara ya pombe kutumiwa na;
- 
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza 
- 
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza 
- 
Dawa za kutibu tatizo la kutotulia na kuwa na pilika nyingi (ADHD) 
- 
Dawa ya kuyeyusha damu iitwayo kumarini (coumarin) au wafarini(warfarin) 
Imeandikwa na daktari wa ULY CLINIC
Madhara ya kutumia pombe pamoja na dawa za jamii ya nitrate na kushusha shinikizo la damu
Dawa hizi zikitumika pamoja na pombe zinaweza kusababisha, kizunguzungu, kuzimia, kuwa kuwa kwenye hali ya kulegea na kutojielewa, mapigo ya moyo yasiyoeleweka na ya haraka
Imeboreshwa 24.02.2020
Rejea
BNF 2018
bottom of page
