top of page
Soma zaidi madhara ya pombe kutumiwa na;
-
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza
-
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza
-
Dawa za kutibu tatizo la kutotulia na kuwa na pilika nyingi (ADHD)
-
Dawa ya kuyeyusha damu iitwayo kumarini (coumarin) au wafarini(warfarin)
Imeandikwa na stafu wa ULY CLINIC
Dawa za kundi la kutibu tatizo la wasiwasi
Dawa hizi huwa na maudhi ya usingizi, endapo zitatumika pamoja na pombe huweza kuleta hali kubwa ya usingizi au nusu kifo, au kifo kinaweza kutokea.
Dawa zilizo kundi hili baadhi ni lithium, dicalproex, lorazepam, alprozalam, diazepam, clonazepam
Imepitiwa 24.02.2020
Rejea
BNF 2018
bottom of page