top of page

Imeandikwa na daktari wa ULY CLINIC

Dawa za kutibu maambukizi ya bakteria (antibayotik)

Dawa zifuatazo zinaweza kukusababishia hali kali ya kichefuchefu na kutapika, pia unaweza kupata madhara makali yatokanayo na mpambano kati ya dawa na pombe. Metronidazole, azithromycin, isoniazid, nitrofurantoin

Imeboreshwa  24.02.2020

Rejea 

BNF 2018

bottom of page