top of page
Soma zaidi madhara ya pombe kutumiwa na;
-
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza
-
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza
-
Dawa za kutibu tatizo la kutotulia na kuwa na pilika nyingi (ADHD)
-
Dawa ya kuyeyusha damu iitwayo kumarini (coumarin) au wafarini(warfarin)
Imeandikwa na daktari wa ULY CLINIC
Dawa za kutibu maambukizi ya bakteria (antibayotik)
Dawa zifuatazo zinaweza kukusababishia hali kali ya kichefuchefu na kutapika, pia unaweza kupata madhara makali yatokanayo na mpambano kati ya dawa na pombe. Metronidazole, azithromycin, isoniazid, nitrofurantoin
Imeboreshwa 24.02.2020
Rejea
BNF 2018
bottom of page