Soma zaidi madhara ya pombe kutumiwa na;
-
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza
-
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza
-
Dawa za kutibu tatizo la kutotulia na kuwa na pilika nyingi (ADHD)
-
Dawa ya kuyeyusha damu iitwayo kumarini (coumarin) au wafarini(warfarin)
Imeandikwa na daktari wa ULY CLINIC
Madhara ya kutumia pombe na dawa za kutibu tatizo la kukosa usingizi
​
Dawa hizi kwa kawaida huwa na maudhi ya kuleta hali ya kusinzia ambapo ndo msingi wa matibabu ya tatizo la kukosa usingizi. Endapo zitatumiwa pamoja na pombe zinaweza kusababisha dalili za
Kusinzia, Kizunguzungu, Kuhisi huzuniko kuu, Kushindwa kutembea, Kuharibiwa kwa ini, Madhara makubwa kwenye moyo mfano mapigo ya moyo kwenda ndivyo sivyo na kuruka kwa mapigo la moyo
Dawa kwenye kundi hili zipo nyingi lakini mfano wake ni lithium, dicalproex, lorazepam, alprozalam, diazepam, clonazepam
​
Imepitiwa 24.02.2020
​
Rejea
BNF 2018